Mheshimiwa Tundu Lissu asema anatafakari kugombea Uraisi mwaka 2020Picha: Gazeti Raia Mw...

KAMPUNI YA MUGABE YAKABILIWA NA MASHTAKA
Kampuni moja ya rais wa zamani wa
Zimbabwe Robert Mugabe inatakiwa kuondoka katika kipade kimoja cha ardhi
kinachomilikiwa na shule moja la sivyo...
Kigwangwala atembelea nyumba ya Baba wa Taifa-Magomeni
Waziri wa Maliasili na Utalii Mheshimiwa Hamis Kingwangwala amefanya ziara ya kutembelea nyumba ya Rais wa Kwanza na Baba wa Taifa Julius Nyerere, iliyopo...
Rais Trump avishutumu vyombo vya Habari kwa kuandika habari Feki
Rais Donald Trump azungumza katika mkutano ulioandaliwa na World Economic Forum huku akivituhumu kuandika habari za uongo na kupotosha hotuba zake. Picture:...
Kagame azungumza na Donald Trump
Rais wa Rwanda Paul Kagame amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Taifa la Marekani Donald Trump, ambapo wawili hao pamoja na mambo mbalimbali wamezungumzia...
Tido Mhando Aburuzwa mahakamani
Mkurugenzi wa zamani TBC afikishwa mahakamani na kushitakiwa kwa makosa ya matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia hasara serikali.Picha: citizen...
Dawa za nguvu za kiume zawaponza Zambia
Kiongozi wa mkoa, Chanda Kasolo, ameiambia BBC kuwa mara baada ya kunywa dawa hizo, walianza kutapika kitu ambacho kilisababishwa na mchanganyiko wa chakula,...
Croatia yatoa kitabu cha hadithi cha watoto,kinachoonyesha wazazi wenye jinsia moja
Chanzo: BBC Swahili. Kwa mara ya kwanza Croatia, kitabu cha watoto cha hadithi za kusimulia kitandani Kimejumuisha wahusika ambao ni wapenzi wa jinsia...
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)