Maurinho Rasmi Manchester United


 picha: Maurinho na Van Gaal.




Imeshafahamika rasmi sasa kuwa kocha Jose Maurinho atachaguliwa na Uongozi wa Manchester United "Red Devils" kuwa Manager Mpya wa timu hiyo na kuziba Pengo la Van Gaal ambaye anaachia mikoba kilabuni hapo.


EmoticonEmoticon