KIMENUKA CCM VS CHADEMA


Mbunge wa jimbo la Mpendae CCM Salim Turki amekidharirisha, kukifedhehesha, na kukitukana Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA na kusema kwamba ni chama cha watu wasio na akili ,wasio na misingi na kwamba CCM inaweza kuwafanya lolote na wasifanye kitu.

Mbunge huyo amewadharirisha CHADEMA mbele ya kikao cha usuluhishi baina ya Upande wao na wenzao kilichofanyika Central polisi hivi karibuni,mbele ya Maafisa waandamizi wa polisi,ambapo aliitwa pamoja na upande wa pili ambao wanaopingana kujadili namna ya kutatua mgogoro wao.

Aliwafananisha anaopingana nao sawa na CCM wanavyowanyanyasa CHADEMA bungeni na kwamba sauti yao haina pa kusikika na wasio na lolote wala chochote.
Hii ni dharau kubwa kufanywa na Mbunge kwa CHADEMA.

CHADEMA MPOOO!

ONA VIDEO HII
 Source:facebook

1 comments:

I want to share my testimony of how i become rich and famous today… i was deeply strangled up by poverty and i had no body to help me, and also i search for help from different corners but to no avail… i see people around me getting rich but to me i was so ashamed of my self so i met a man on my way he was very rich and he was a doctor so he told me something and i think over it though out the day so the next day i looked up and i keep repeating what he said to me. ” if you want to get rich quick and be famous” you need to cross your heart and do what is in your mind so i tried all i could in other for me to do as he said so later on i told my fellow friend about this same thing then my friend was interested in my suggestions so i decided to look in the internet and i found their number so we decided to contact them and unfortunately we did as they instruct us to do and later they told us to get some requirements and all the rest… so this initiation took us just a week and later on the great fraternity gave us $1,200,000 to start up our lives…. and now am testifying that if in any case you want to join any great fraternity all you need to do is for you to contact them because they are legitimate and they do as what they instructed them to do, so you can as well WhatsApp: +233594515977 or you can Email: Markroland08011@gmail.com


EmoticonEmoticon