Maurinho Rasmi Manchester United


 picha: Maurinho na Van Gaal.




Imeshafahamika rasmi sasa kuwa kocha Jose Maurinho atachaguliwa na Uongozi wa Manchester United "Red Devils" kuwa Manager Mpya wa timu hiyo na kuziba Pengo la Van Gaal ambaye anaachia mikoba kilabuni hapo.

Joaquin "El Chapo" Guzman kuhamishiwa Marekani


Mexico imeidhinisha kuhamishiwa Marekani mlangunzi mkuu wa madawa ya kulevya, Joaquin Guzman, almaarufu El Chapo, ili ashtakiwe kwa mauaji na ulanguzi wa madawa ya kulevya.
Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya imesema kuwa Marekani imehakikishia taifa hilo jirani kuwa Guzman hatahukumiwa kifo katika kesi zinazomkabili.

SOURCE:BBC SWAHILI

Kategori

Kategori