RAMAPHOSA: HAKUNA KINGA YA RAISI ZUMA DHIDI YA MASHITAKA YANAYOMKABILI



Raisi wa Chama cha ANC Cyril Ramaphosa ameiambia Kamati Kuu ya Chama hicho kuwa  Hakuna kinga dhidi ya mashitaka yanayomkabili Raisi wa nchi ya Afrika Kusini Bwana Jackob Zuma.Na sio moja ya makubaliano katika kukabidhiana madaraka.
Chanzo: News24


EmoticonEmoticon