SERIKALI KUJENGA ''FLYOVER'' NYINGINE SABA



Serikali katika kukabiliana na tatizo la foleni za barabarani imepanga kujenga vivuko saba vya juu vya barabara (flyover)
hayo yamesemwa na Msemaji wa Serikali Dr Hassan Abbas wakati akizungumza na waandishi wa habari.
Barabara zitakazohusika na ujenzi wa flyover hizo ni Chang'ombe, Uhasibu, Kamata, Morocco, Mwenge, Magomeni na Tabata.


EmoticonEmoticon