Kagame azungumza na Donald Trump

Rais wa Rwanda Paul Kagame amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Taifa la Marekani Donald Trump, ambapo wawili hao pamoja na mambo mbalimbali wamezungumzia mahusiano mazuri kati ya Marekani na mataifa ya Africa. 


Viongozi hao walikutana mjini Davos nchini Switzerland walipokuwa wamehudhuria mkutano ulioandaliwa na World Economic Forum. 


EmoticonEmoticon